Skip to content

BOT MBEYA SACCOS ni chama cha Akiba na Mikopo kinachoendesha shghuli zako kwa mujibu wa sheria za ushirika (Sheria ya Ushirika 2013) na seria za huduma ndogo za fedha za mwaka 2018. Chama kimesajili kwa namba ya usajili ……………………………

Chama cha BOT Mbeya SACCOS, kilianzishwa mwaka ……………na makao makuu yake ni Offisi za Benki Kuu Mbeya Forest. Chama kina wanachama katika matwi yote ya Benki Kuu (Arusha, Dodoma, Mwanza, Mbeya, Zanziba, na Mtwara) na Makao Makuu Dodoma pamoja na Makao Makuu ndogo – Dar es Salaam.

Uwezo wa Chama

Taji Tsh. 478.1 million

Akiba Tsh. 1,464.3 million

Hisa Tsh. 102.2 millioni

Mikopo Tsh. 1,978.7 milion

Faida Tsh. 15.2 millioni

Mtaji Taasisi Mali Tsh. 2,188.8 millioni

Wanachama

Wanachama 227 mtawi ya Benki Kuu Arusha, Mwanza, Mtwara, Zanzibar, Dodoma Makao Makuu ndogo Dar es Salaam.

Wanaume 151   ;    Wanawake 76

Mwelekeo wa Chama
Back To Top